بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمن الرَّحيم
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema (Duniani) Mwenye Kurehemu (Akhera)
Hakika sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, tunamsifu, tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah, tunamuomba Atuhifadhi na shari za nafsi zetu, na maovu ya matendo yetu. Anayemuongoza Mwenyezi Mungu hapana wa kumpoteza, na Anayempoteza, hapana wa wa kumuongoza. Nakiri kwamba, hapana apasaye kuabudiwa ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke Yake, hana mshirika, na ninakiri kwamba Muhammad ni mja Wake na ni Mtume Wake. Mwenyezi Mungu Amrehemu na Awarehemu jamaa zake na Maswahaba zake na wanaowafuata hao kwa wema mpaka siku ya malipo na Amsalimishe kwa amani nyingi.
Baada ya yaliyotangulia huu ni ufupi (Mukhtasar) wa kitabu kiitwacho “HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR AL-KITAAB WA SUNNAH”
Ninamuomba Mwenyezi Mungu kwa majina Yake mazuri, na sifa Zake zilizo juu, Ajaaliye kazi hii kuwa, imesafika lengo lake, kwa kutaka radhi zake Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Aninufaishe kwa hayo katika uhai wangu huu, na baada ya kufa, na Amnufaishe atakayekisoma, kukichapisha, au aliyekuwa ni sababu ya kukitawanya, hakika Yeye Mwenyezi Mungu Ndiye Muweza.
Mwenyezi Mungu Amrehemu Mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم na Aali zake na Maswahaba wake na wanaowafuata hao, kwa wema mpaka siku ya malipo.بسم الله الرحمن الرحيم
I Allahs namn, Den Barmhärtigaste (Världen) Barmhärtigast (nedan)
Sannerligen All ära till Allah, vi prisar, vi sökte hjälp och vi ber maghfirah, vi ber Atuhifadhi från det onda i våra själar och det onda i våra handlingar. Anayemuongoza Allah det finns ingen förlorande och Anayempoteza ingen av guiden. Jag medger att det inte finns någon gud utom Allah apasaye, tillstånd av att vara ensam, ingen partner, och jag erkänner att Muhammed är Hans tjänare och Hans budbärare. Allah välsigna och visa kärlek till sin familj och hans följeslagare och de som följde dem i godhet tills Domedagen och Amsalimishe mest fredliga.
Efter denna prolog är kort (förkortning) av boken "HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR Kitaab al-Sunnah"
Ninamuomba Allah genom Hans Namn trevlig, och hans beröm från ovan, Ajaaliye arbete detta kommer att bli, imesafika sitt mål, för nöjet av den allsmäktige Gud den Allsmäktige, och Aninufaishe med det i mitt liv, det här, och efter hans död, och Amnufaishe kommer att läsa, kukichapisha , eller som var orsaken till kukitawanya, säkert Han är Allah, den kraftfulla.
Allah välsigna vår Profet Muhammad صلى الله عليه وسلم och hans Aal och hans följeslagare och de som följde dem, för godhet tills Domedagen.